pata nafasi ya kuwapigia kura wakongwe hawa wa Bongo Movies

Wapigie Kura Wakongwe Hawa wa Bongo Movies, Unayemkubali

  • Wapigie Kura Wakongwe Hawa wa Bongo Movies, Unayemkubali 1
  • Wapigie Kura Wakongwe Hawa wa Bongo Movies, Unayemkubali 2
  • Wapigie Kura Wakongwe Hawa wa Bongo Movies, Unayemkubali 3
  • Wapigie Kura Wakongwe Hawa wa Bongo Movies, Unayemkubali 4
  • Wapigie Kura Wakongwe Hawa wa Bongo Movies, Unayemkubali 5
  • Wapigie Kura Wakongwe Hawa wa Bongo Movies, Unayemkubali 6
  • Wapigie Kura Wakongwe Hawa wa Bongo Movies, Unayemkubali 7
Kutangaza hapa piga : 0715577805
KATIKA kinyang’anyiro cha tuzo za filamu Tanzania (TAFA) zitakazotolewa mwaka huu kuna mchuano mkali kwa kuwakutanisha wasanii wenye uwezo wa juu kipengele hiki cha Time Life achievement unakutana na vichwa kama vile Thecla Mjatha, Farida Sabu, Susan Lewis ‘Natasha’, Hashim Kambi, Ahmed Olotu.
Wengine ni Chuma Seleman, Hidaya Njaidi, na msanii ambaye aliwahi kushinda kama mshindi Bora wa Karne huko Ujerumani Bakary Mbelemba ‘Mzee Jangala’ msanii jembe kwa kuwawezesha kushinda wasanii hawa andika namba yake iliyopo katika picha yake kwenda 15522.
Kwa kufanya hivyo utakuwa umemsaidia msanii wako kushinda na kumtia moyo kwa mchango wake alioutoa kwa jamii ya Tanzania mpigie msanii umpendae kuibuka kinara kutoka Tanzania film awards TAFA.

0 Response to "pata nafasi ya kuwapigia kura wakongwe hawa wa Bongo Movies"

Chapisha Maoni