TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8JANUARY) LAFANA MJINI MOROGORO

 Wasanii wa Hip hop katika anga ya muziki wa Bongofleva,Faridi Kubanda a.k.a Fid Q pamoja na Stamina wakilishambulia jukwaa kwenye tamasha la wazi la Tuo8January,hapo jana katika viwanja vya sabasaba mjini Morogoro.

Tuo8January ni kampeni maalum iliyozinduliwa hivi karibuni ikiwa na lengo la kuwahamasisha vijana kujitokeza kushiriki mchakato wa uchaguzi  wa viongozi mbalimbali wanaowataka na wanaowaamini wana uwezo wa kuleta mabadiliko ya kinidhamu kwenye masuala ya msingi ya Taifa letu.

NICKK WA PILI:MSANII NYOTA WA HIP HOP NCHINI,NI MWANAMUZIKI MSOMI,AMESHIRIKI KATIKA FURSA MBALIMBALI ZA KIJAMII NA KUTOA HITS SONGS KIBAO NA ANAMKUBALI ZAIDI JOH MAKINI NA JAY Z



Akizungumza katika moja ya fursa ya kijamii  nchini

MAFANIKIO siku zote huanza kujengwa na fikra zilizo imara ndicho kitu kinachomfanya Msanii wa muziki wa Hip Hop nchini kutoka katika kundi la weusi,Nickson Saimoni maarufu kama 'Nickk Wa Pili' kuzidi kuwa nyota inayong'ara kwa wasanii wengine nchini.

Kama ilivyowazi kuwa msanii huyu ni msomi ambaye amefanikiwa kushiriki katika fursa mbalimbali za kijamii ambazo anaamini zimechangia kumkuza zaidi kiakili na kutambua uhalisia wa maisha ya mtanzania kuliko alivyosoma darasani.
Baada ya kumaliza elimu ya shahada katika chuo kikuu cha Dar es salaam

PRODUCER HEDY MO AWATAKA MASHABIKI WA MUZIKI NCHINI WAMPOKEE

Producer chipukizi anayekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini,Hemed Moshi maarufu kama Hedy Mo amewataka mashabiki wa muziki nchini kumpokea katika tasnia hiyo.

Akizungumza na MUZIKI BEGANI alisema amejipanga vilivyo kuhakikisha anawapatia muziki mzuri na burudani ya kutosha mashabiki wake nchini.

"Nimejipanga vizuri kuhakisha nateka soko la muziki nchini kwani muziki ni kitu nilichokuwa nakipenda tangu nilipokuwa nakua na nimeshajua namna ya kufanya kazi zitakazokonga nafsi za mashabiki wa muziki wangu nchini.

NEWS: NEW JOINT JOH MAKINI -XO

NEWS: NEW JOINT JOH MAKINI -XO


1
Joh Makini Toka WEUSI KAMPUNI ajiunga Rasmi www.mkito.com na ifikapo Alhamisi tarehe 11 Desemba hii ataachia rasmi Ngoma yake mpya kwa jina “XO” aliomshirikisha @gnakowarawara ikiwa ni HipHop category toka kwa Producer Sappy aliye Nchini Kenya,SIKILIZA KIONJO HAPA http://goo.gl/yaTCHG Official Video Release chini ya Director @nisherbybee itakuwa Tarehe za jirani hivyo huku Tukisubiri Mzigo Kamili, Follow @joh_makini Powered by @mkitodotcom @vmgafrica @defxtro Pakua Ngoma zote za Awali toka kwa Joh Makini aka Mwamba HAPA
2
Ommy Dimpoz - Tupogo Remix

Ommy Dimpoz - Tupogo Remix

Behind the scene: Video Ya Victoria Kimani Ft Diamond&Ommy Dimpoz - Prokoto


Uchukuaji wa video ya wimbo wa muimbaji wa Kenya, Victoria Kimani ‘Prokoto’, ambao kawashirikisha Ommy Dimpoz na Diamond.

Video ilifanyika Ijumaa (July 11) jijini Dar es salaam na kuongozwa na director wa Kenya Kevin Bosco.













 Lady jaydee ft dabo Forever teaser

Lady jaydee ft dabo Forever teaser

Sikiliza hapa wimbo mpya wa DITTO โ€œHERI YA CHRISTMASโ€

Sikiliza hapa wimbo mpya wa DITTO “HERI YA CHRISTMAS”


artist_1183c0d4e0d39717a570a2ef73fd68a8d90
Msimu wa Christmas ndiyo unatufikia sasa na wimbo wa kwanza wa Christmas ndiyo huu hapa kutoka kwa Ditto. Ditto ambaye ameandika nyimbo nyingi ambazo ni hits kubwa katika muziki wa Tanzania pia ni mwimbaji na mwalimu wa muziki Tanzania House of Talent.
Huu ni wimbo unaofuata baada ya โ€œNtampata wapi?โ€ ya Diamond Platnumz

Huu ni wimbo unaofuata baada ya “Ntampata wapi?” ya Diamond Platnumz




diamond platnumz 
Chibu Dangote “Diamond Platnumz” ameongelea kuhusu maamuzi ya kutoa wimbo huu wa “Ntampata Wapi?” na wimbo wake mwengine ambao bado hajauweka wazi jina lake. Diamond ameeleza haya akiwa anajadiliana na Bab Tale mmoja kati ya watu wanao M Manage.

“Kama wanaitaka na imekaa tu ndani haina kazi, wape tu basi Mashabiki zako…. kisha kabla ya mwaka kuisha Watolee hiyo unayoitaka wewe….”
Nikamwambia – “sawa Boss Tale”

JOSLIN AJA NA UJIO MPYA



 
NA SYLVESTER DAVID
MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka katika kundi la ‘Wakali kwanza’,  Joslin Mchalla maarufu kama Joslin anatarajia kutambulisha kibao chake kipya hivi karibuni.

Akizungumza na MUZIKI BEGANI alisema amefanya kibao kizuri kitakachokonga nafsi za mashabiki wake.
NEWS: Kumbe kuwa KIMYA kwa MABESTE (@MabesteBudaa) sababu zake zilikuwa ni hiziโ€ฆ

NEWS: Kumbe kuwa KIMYA kwa MABESTE (@MabesteBudaa) sababu zake zilikuwa ni hizi…



w

Msanii Mabeste Venance aka Mabeste kwenye ukurasa wake wa Facebook ameshare kitu kizuri kwa mashabiki wake na kuwaeleza sababu za yeye kuwa kimya kwa muda wa miezi kazaa.. Mabeste aliandika status hii..

EXCLUSIVE NEWS I am back people!!! My New Audio Actually Imeisha Iko Ready Tunaangalia Tuu Hali Ya Hewa Soon Nitaachia! Sorry Watu Wangu!! Kwa Ukimya Ilikua Time Ya Kendrick Ku Enjoy Na Dad After He Was Born Now Nimerudi Kazini!! Thanks Watu Wangu Kwa Uvumilivu!!

BAADA YA KUTAMBA NA 'RUN DSM', KITWANA ARUDI NA SIFA 10 ZA MREMBO

MSANII chipikizi anayekuja kwa kasi katika muziki wa Hip Hop nchini, Kitwana Ramadhani ‘Kitwana’ amesema anatarajia kutambulisha video ya kibao chake kipya kijulikanach kama ‘Sifa kumi za mrembo’. mwanzoni mwa mwezi Desemba .
Akizungumza na MUZIKI BEGANI alisema video hii ni nzuri na imebeba ujumbe mzuri ambao naamini mashabiki wataupenda.
“Natarajia kutambulisha video ya wimbo wangu mpya ambayo ni video nzuri inayozungumzia sifa za mwanamke ambaye mtu yoyote anamtaka ana amaweza kumchagua kwa ajili ya ndoa”.Alisema Kitwana.
Kitwana ambaye aliwahi kutamba na kibao kilichojulikana kama ‘Run Dsm’ ambacho kilipigwa katika vyombo mbalimbali vya habari nchini.
Kitwana aliwataka mashabiki wake waisapoti video ya wimbo huo na kuwasihi wazidi kusubiri mambo mengi kutoka kwake.



PROFIT:PRODUCER DUNGA AMENIJENGA KIMUZIKI



NA SYLVESTER DAVID
MSANII chipukizi wa muziki wa kizazi kipya nchini Profit Ramadhani maarufu kama Profit amemtaja mwandaaji mkongwe wa muziki nchini,Ambrose Dunga, ‘Dunga’ kuwa ndiye aliye mfanya ajulikane kwa mashabiki wake.

Akizungumza na MUZIKI BEGANI alisema kufanya kazi na mwandaaji huyo kumechangia afanye kazi nzuri zinazopendwa na mashabiki wa muziki nchini.
“Dunga ni mwandaaji anaujua vizuri mziki na maisha halisi ya wasanii nchini,nimefanya naye kazi tatu nzuri zinazolenga soko na wapenzi wa muziki nchini”.Alisema Profit.

Awali Profit aliwahi kutamba na kibao cha ‘Hawana tena ubinadamu’ alichomshirikisha msanii Sunday Mjeda maarufu kama ‘Linex’ kilichofanyika katika studo za Sharobaro Record Magomeni jijini Dar es salaam.

Profit aliongeza kuwa akiwa chini ya mwandaaji Dunga alifanya vibao vitatu kikiwemo ‘All about Profit’ alicho mshirikisha mwandaaji huyo.

Vilevile aliongeza kuwasihi mashabiki wake wakae tayari kuipokea video ya wimbo wake mpya aliomshirikisha msanii Yard ijulikanayo kama ‘Sirud nyuma’.