NEWS: Kumbe kuwa KIMYA kwa MABESTE (@MabesteBudaa) sababu zake zilikuwa ni hizi…



w

Msanii Mabeste Venance aka Mabeste kwenye ukurasa wake wa Facebook ameshare kitu kizuri kwa mashabiki wake na kuwaeleza sababu za yeye kuwa kimya kwa muda wa miezi kazaa.. Mabeste aliandika status hii..

EXCLUSIVE NEWS I am back people!!! My New Audio Actually Imeisha Iko Ready Tunaangalia Tuu Hali Ya Hewa Soon Nitaachia! Sorry Watu Wangu!! Kwa Ukimya Ilikua Time Ya Kendrick Ku Enjoy Na Dad After He Was Born Now Nimerudi Kazini!! Thanks Watu Wangu Kwa Uvumilivu!!