Huu ni wimbo unaofuata baada ya “Ntampata wapi?” ya Diamond Platnumz




diamond platnumz 
Chibu Dangote “Diamond Platnumz” ameongelea kuhusu maamuzi ya kutoa wimbo huu wa “Ntampata Wapi?” na wimbo wake mwengine ambao bado hajauweka wazi jina lake. Diamond ameeleza haya akiwa anajadiliana na Bab Tale mmoja kati ya watu wanao M Manage.

“Kama wanaitaka na imekaa tu ndani haina kazi, wape tu basi Mashabiki zako…. kisha kabla ya mwaka kuisha Watolee hiyo unayoitaka wewe….”
Nikamwambia – “sawa Boss Tale”