New AUDIO+LYRICS | ENDRU G - SHOLELA | Download


VERSE 1
Nikweli umeumbika lady,kila jicho linakuona wewee,uzuri wako niwakipekee lakini kinachokuponza ni tabiaa, warembo mbona wako wengi eh,ila moyo umekuona wewee,ah unanigeuza mjinga sababu ninakupenda ahaah, kwani nilidata na ilo penzi lakoo,ila we unanichuna,amini ukukugana na moyo gwane,indumbula we bitee X2

CHORUS
ujanja mwingi mbele giza usijione unaweza,sholelaa,dunia hii tunapita elewa mwisho utafikaa,ujanja mwingi mbele giza usijione umemalizaa,sholela,dunia hii tubapita elewa miaho utafikaaa

VERSE 2
Uzuri wa usoni ungekuwa na na moyoni,usingepata tababu we niwakuwekwa ndani,kuliko kubadili awo mabwana every day,wanakutumia na kukuacha,uzuri wakoo,ingekuwa na moyoni ,usingepata tabu wa ni wakuwekwa ndani,amini today bora mimi nitembee ,dunia ikakufunze wewe, kwani nilisadata na ilo penzi lako ,ila we ukanichunaa,amini ukukugana na moyo gwane,indimbula we biteee X2

CHORUS
ujanja mwingi mbele giza usijione unaweza,sholelaa,dunia hii tunapita elewa mwisho utafikaa,ujanja mwingi mbele giza usijione umemalizaa,sholela,dunia hii tubapita elewa miaho utafikaaa

BRIDGE
Sholela, ujana aufai, sholela, kubadili mabwana , sholela., kutembea na wanaume za watu, sholela, ujana aufai hiiiii

CHORUS
ujanja mwingi mbele giza usijione unaweza,sholelaa,dunia hii tunapita elewa mwisho utafikaa,ujanja mwingi mbele giza usijione umemalizaa,sholela,dunia hii tubapita elewa miaho utafikaaa