Producer Tudd Thomas avamiwa na vibaka

http://s0.hulkshare.com/avatar_images/original/7/e/c/7ec3347da4d0db84f302c270b1779b45.jpg?dd=1388552400

Mtayarishaji wa muziki nchini, Tudd Thomas amejeruhiwa sehemu mbalimbali za mwili baada ya kuvamiwa na watu wanaosadikika kuwa ni vibaka maeneo ya Mlimani City, jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo.

Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye ukurasa wa @Cloudsfmtz Instagram, Mtayarishaji huyo aliyetengeneza hits za mastaa mbalimbali akiwemo Diamond ‘Mdogo Mdogo’, amelazwa hospitali ya Muhimbili katika kitengo cha MOI.

Tudd

0 Response to "Producer Tudd Thomas avamiwa na vibaka"

Chapisha Maoni