Davido azomewa na wakenya kwa Show fupi simu zake zaporwa!

 1971476_403424773151654_1766722506_n

 Wakenya wamechukizwa na show fupi ya Davido iliyofanyika Jumamosi hii kwenye viwanja vya Carnivore jijini Nairobi.
Inasemekana kuwa show yake ilidumu kwa takraban dakika 30 tu licha ya kuwa na kiingilio cha shilingi 45,000 za Tanzania. Msanii huyo alilipwa shilingi milioni 146 za Tanzania kutumbuiza kwenye show hiyo.SOMA HAPA ZAIDI ALICHOPOST>>>>>>>