MFAHAMU MTANZANIA WA KWANZA KUSIGN LABEL STUDIO ZA UNIVERSAL MUSIC BAADA YA KUSHINDA SHINDANO LA AIRTELTRACESTAR


11078950_1640752309489044_2004175639_n Mayunga akiwa na Akon baada ya kutangazwa mshindi
 Muimbaji wa Tanzania, Mayunga Jumamosi hii alishinda shindano la Airtel Trace Music Star lililoandaliwa kwa ushirikiano wa kituo cha Trace TV, Airtel na muimbaji mwenye asili ya Senegal, Akon.
Fainali za shindano hilo lililohusha nchi takriban 12, zilifanyika jijini Nairobi, Kenya ambapo Akon alikuwa mmoja wa majaji wa shindano.
10249302_1550781318519068_1517746496_n
Kwa ushindi huo, Mayunga amepata deal ya kuwa chini ya label ya Akon, Kon Live na Universal Music Group.