HATAREEEE :Pichaz- kutoka kwenye show ya Ali Kiba Arusha #Cheke tour.

 
Usiku wa March 07 ilikua ni zamu ya mkoa waArusha nao kufikiwa na ile tour ya Ali Kiba inayoitwa Chekecha Cheke tour,hii ilikua ndani ya viunga vya Triple A,kama ilivyokuwa kwa Moshi Ali Kiba pia usiku huo.

Leo March 08 Ali Kiba ataimalizia kanda ya kaskazini kwa show kwenye mpaka Tanzania na Kenya sehemu inaitwa Namanga,hizi ni baadhi ya picha.