Pichaz :Behind the scene ya wimbo wa Jux.. Ni Dar es Salaam safari hii

4X7A9979
‘Sisikii’ ni jina la wimbo ambao unafanya vizuri kwenye radio na TV pia, wimbo huo video yake yote ilifanywa China, ndani yake alionekana pia video queen msanii wa Bongo Fleva Vanessa Mdee.. Jux karudi tena location, safari hii kazi haijafanyika China tena na wala sio nje ya Bongo, mzigo unafanyika hapa Tz, walikuwa zao kwenye fukwe za bahari ya Hindi Dar es Salaam wakishoot video ya wimbo mpya wa staa huyo.

Wimbo unaitwa ‘Nikuite Nani’, tayari kazi ya kuandaa video imeanza muda wowote ikiwa tayari tutaiona, hapa nimekuwekea behind the scenes baadhi ya pichaz.. Vee Money ameonekana yuko nae kwa pembeni akicheki Jux na team ya Hanscana wakirekodi video hiyo ufukweni.

4X7A0007 2
4X7A0087
4X7A0171

Kingine nilichokishuhudia ni kwamba video iko simple kabisa yani, hakuna magari ya kifahari wala majumba yaliyotumiwa kushoot, muda mwingi picha za video zimerekodiwa wako zao tu ufukweni.
4X7A0201
4X7A0262
4X7A9865 2
4X7A9866 2
4X7A9870 2
4X7A9905
4X7A9965
4X7A9967 2
4X7A9979
440A8238 2